Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wakati wa mavuno mtakuwa bado mnakula mavuno ya zamani ya mwaka uliotangulia, mtahitaji kuondoa mavuno hayo ya zamani ili mpate nafasi ya mavuno mapya.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ndipo Azaria mkuu wa makuhani wa nyumba ya Sadoki akamwambia: “Tangu watu walipoanza kuleta michango ndani ya nyumba ya Yehova,+ wamekuwa wakila na kushiba na bado kiasi kikubwa kimebaki, kwa maana Yehova amewabariki watu wake, na kiasi hiki kikubwa sana kimebaki.”+

  • Methali 3:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani,+

      Kwa mavuno ya kwanza ya* mazao* yako yote;+

      10 Ndipo maghala yako yatakapojazwa kabisa,+

      Na mitungi yako itafurika* divai mpya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki