Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kwa hiyo mruhusu kila mmoja wetu atoe vitu alivyopata ili viwe vya Yehova, yaani, vitu vya dhahabu, mikufu ya miguuni, bangili, pete za muhuri, vipuli, na vito vingine, ili Yehova afunike dhambi zetu.”

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Yehova Mungu wenu mahali atakapochagua: katika Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda,*+ na hakuna yeyote kati yao anayepaswa kwenda mbele za Yehova mikono mitupu.

  • Luka 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Pia, ninawaambia: Jifanyieni marafiki kupitia mali zisizo za uadilifu,+ ili zitakapokwisha wawapokee katika makao ya milele.+

  • 1 Timotheo 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Waambie watende mema, wawe matajiri katika matendo mazuri, wawe wakarimu, tayari kushiriki vitu na wengine,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki