8 Lakini roho takatifu itakapokuja juu yenu mtapokea nguvu,+ nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu,+ katika Yudea yote na Samaria,+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi* ya dunia.”+
18 Lakini ninauliza, je, walikosa kusikia? Kwa kweli, “sauti yao ilifika katika dunia yote, na ujumbe wao ulifika mpaka kwenye miisho ya dunia inayokaliwa.”+
6 Nami nikamwona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu,* naye alikuwa na habari njema ya milele ili aitangaze kwa wale wanaokaa duniani, kwa kila taifa na kabila na lugha na watu.+