Isaya 43:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+ Luka 24:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ninyi mtakuwa mashahidi wa mambo haya.+ Yohana 15:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Atakapokuja msaidizi ambaye nitawatumia kutoka kwa Baba, roho ya ile kweli,+ inayotoka kwa Baba, huyo atatoa ushahidi kunihusu;+ 27 nanyi, mtatoa ushahidi,+ kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzoni.
10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+
26 Atakapokuja msaidizi ambaye nitawatumia kutoka kwa Baba, roho ya ile kweli,+ inayotoka kwa Baba, huyo atatoa ushahidi kunihusu;+ 27 nanyi, mtatoa ushahidi,+ kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzoni.