26 Atakapokuja msaidizi ambaye nitawatumia kutoka kwa Baba, roho ya ile kweli,+ inayotoka kwa Baba, huyo atatoa ushahidi kunihusu;+27 nanyi, mtatoa ushahidi,+ kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzoni.
8 Lakini roho takatifu itakapokuja juu yenu mtapokea nguvu,+ nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu,+ katika Yudea yote na Samaria,+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi* ya dunia.”+