3 Wapendwa, sasa hii ndiyo barua ya pili ninayowaandikia, ambayo kama katika barua yangu ya kwanza, ninachochea uwezo wenu wa kufikiri vizuri kwa kuwakumbusha,+ 2 ili mkumbuke maneno yaliyosemwa hapo mwanzoni na manabii watakatifu na amri ya Bwana na Mwokozi kupitia mitume wenu.