13 Ndipo Paulo na wenzake wakasafiri baharini kutoka Pafo na kufika Perga huko Pamfilia. Lakini Yohana+ akawaacha na kurudi Yerusalemu.+ 14 Hata hivyo, wakaendelea na safari kutoka Perga hadi Antiokia huko Pisidia. Nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya Sabato, wakaketi.