Matendo 17:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakaenda hadi Thesalonike,+ ambako kulikuwa na sinagogi la Wayahudi. 2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani ya sinagogi, na kwa sabato tatu akajadiliana nao akitumia Maandiko,+
17 Sasa wakasafiri kupitia Amfipoli na Apolonia wakaenda hadi Thesalonike,+ ambako kulikuwa na sinagogi la Wayahudi. 2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani ya sinagogi, na kwa sabato tatu akajadiliana nao akitumia Maandiko,+