Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 9:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 naye akala chakula na kupata nguvu.

      Akakaa kwa siku kadhaa pamoja na wanafunzi huko Damasko,+ 20 na mara moja akaanza kuhubiri katika masinagogi kuhusu Yesu, kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.

  • Matendo 13:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Paulo na wenzake wakasafiri baharini kutoka Pafo na kufika Perga huko Pamfilia. Lakini Yohana+ akawaacha na kurudi Yerusalemu.+ 14 Hata hivyo, wakaendelea na safari kutoka Perga hadi Antiokia huko Pisidia. Nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya Sabato, wakaketi.

  • Matendo 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi huko Ikoniamu wakaingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi, wakazungumza vizuri hivi kwamba umati mkubwa wa Wayahudi na pia Wagiriki wakawa waamini.

  • Matendo 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Alikuwa akitoa hotuba* katika sinagogi+ kila sabato+ na kuwashawishi Wayahudi na Wagiriki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki