-
Matendo 26:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 “Kwa hiyo, Mfalme Agripa, mimi sikukosa kutii maono hayo kutoka mbinguni, 20 lakini kwanza kwa wale walio huko Damasko+ kisha kwa wale walio Yerusalemu,+ na katika nchi yote ya Yudea, na pia kwa mataifa, nilikuwa nikipeleka ujumbe kwamba wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayoonyesha toba.+
-