Luka 14:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Kwa kweli chumvi ni nzuri. Lakini ikipoteza nguvu yake, itakolezwa na nini?+ 35 Haifai kuchanganywa na udongo wala mbolea. Watu huitupa nje. Yule aliye na masikio ya kusikiliza na asikilize.”+
34 “Kwa kweli chumvi ni nzuri. Lakini ikipoteza nguvu yake, itakolezwa na nini?+ 35 Haifai kuchanganywa na udongo wala mbolea. Watu huitupa nje. Yule aliye na masikio ya kusikiliza na asikilize.”+