Yohana 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia, lolote mtakaloomba katika jina langu nitalifanya, ili Baba atukuzwe kuhusiana na Mwana.+ 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.
22 na chochote tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.