Waroma 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wale wanaosikia sheria sio waadilifu mbele za Mungu, bali wale wanaoshika sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo. 1 Yohana 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake,+ lakini yule anayefanya mapenzi ya Mungu anadumu milele.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
13 Kwa maana wale wanaosikia sheria sio waadilifu mbele za Mungu, bali wale wanaoshika sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.
17 Zaidi ya hayo, ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake,+ lakini yule anayefanya mapenzi ya Mungu anadumu milele.+
3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+