Kumbukumbu la Torati 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nanyi, katika kinywa chenu wenyewe na katika moyo wenu wenyewe,+ ili mlitende.+ Ezekieli 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘“Kisha nikawapa amri zangu na kuwajulisha sheria zangu,*+ ili mtu anayezifuata apate uzima kupitia hizo.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.
14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nanyi, katika kinywa chenu wenyewe na katika moyo wenu wenyewe,+ ili mlitende.+
11 “‘“Kisha nikawapa amri zangu na kuwajulisha sheria zangu,*+ ili mtu anayezifuata apate uzima kupitia hizo.+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo ya uwongo.