Marko 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ilipofika jioni siku hiyo, akawaambia wanafunzi wake: “Tuvuke twende ng’ambo ya bahari.”+ Luka 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Siku moja, Yesu na wanafunzi wake walipanda mashua, naye akawaambia: “Tuvuke twende ng’ambo ya ziwa.” Basi wakaondoka.+
22 Siku moja, Yesu na wanafunzi wake walipanda mashua, naye akawaambia: “Tuvuke twende ng’ambo ya ziwa.” Basi wakaondoka.+