Mathayo 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yesu alipoona umati umemzunguka, akaagiza wavuke kwenda ng’ambo ya bahari.+ Mathayo 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipopanda kwenye mashua, wanafunzi wake wakamfuata.+ Marko 4:35, 36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ilipofika jioni siku hiyo, akawaambia wanafunzi wake: “Tuvuke twende ng’ambo ya bahari.”+ 36 Baada ya kuuaga umati, wakaenda pamoja na Yesu katika mashua, kama alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+
35 Ilipofika jioni siku hiyo, akawaambia wanafunzi wake: “Tuvuke twende ng’ambo ya bahari.”+ 36 Baada ya kuuaga umati, wakaenda pamoja na Yesu katika mashua, kama alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+