Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yesu alipoona umati umemzunguka, akaagiza wavuke kwenda ng’ambo ya bahari.+

  • Mathayo 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Alipopanda kwenye mashua, wanafunzi wake wakamfuata.+

  • Marko 4:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Ilipofika jioni siku hiyo, akawaambia wanafunzi wake: “Tuvuke twende ng’ambo ya bahari.”+ 36 Baada ya kuuaga umati, wakaenda pamoja na Yesu katika mashua, kama alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki