Zaburi 89:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unautawala msukosuko wa bahari;+Mawimbi yake yanapoinuka, unayatuliza.+ Zaburi 107:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye huituliza dhoruba ya upepo;Mawimbi ya bahari hunyamaza.+ Luka 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha akawauliza: “Kwa nini hamna imani?” Lakini wakaogopa na kushangaa, wakaambiana: “Kwa kweli, mtu huyu ni nani? Kwa maana anaamuru upepo na maji, navyo vinamtii.”+
25 Kisha akawauliza: “Kwa nini hamna imani?” Lakini wakaogopa na kushangaa, wakaambiana: “Kwa kweli, mtu huyu ni nani? Kwa maana anaamuru upepo na maji, navyo vinamtii.”+