-
Marko 5:7-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha akapaza sauti na kusema: “Kwa nini unanisumbua, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Zaidi? Ninakuapisha kwa Mungu usinitese.”+ 8 Kwa maana Yesu alikuwa akimwambia: “Mtoke mtu huyu, wewe roho mwovu.”+ 9 Lakini Yesu akamuuliza: “Unaitwa nani?” Naye akamwambia: “Jina langu ni Kikosi, kwa sababu tuko wengi.” 10 Naye akamsihi sana Yesu asiwafukuze roho hao kutoka katika nchi hiyo.+
-