Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Yehova, Mungu anayewapa watu wote uhai,* naomba umchague mwanamume atakayewasimamia watu hawa 17 ili awatangulie na kuwaongoza katika mambo yote, ili watu hawa wa Yehova wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”

  • 1 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi Mikaya akasema: “Ninawaona Waisraeli wote wakiwa wametawanyika milimani,+ kama kondoo wasio na mchungaji. Yehova akasema: ‘Hawa hawana bwana. Acha kila mmoja wao arudi kwa amani nyumbani kwake.’”

  • Ezekieli 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo walitawanyika kwa sababu hakukuwa na mchungaji;+ walitawanyika na kuwa chakula cha kila mnyama wa mwituni.

  • Marko 6:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi, aliposhuka, akaona umati mkubwa, akawasikitikia,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji.+ Naye akaanza kuwafundisha mambo mengi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki