Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndipo Petro, akiwa amejaa roho takatifu,+ akawaambia:

      “Watawala wa watu na wazee,

  • Matendo 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Gavana alipomtolea Paulo ishara ili azungumze, akajibu:

      “Ninajua vema kwamba umekuwa mwamuzi wa taifa hili kwa miaka mingi, nami nafurahi kujitetea mbele yako.+

  • Matendo 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi kesho yake, Agripa na Bernike wakaja kwa fahari nyingi na kuingia katika ukumbi wa baraza pamoja na viongozi wa jeshi na vilevile wanaume mashuhuri wa jiji; naye Festo alipotoa amri, Paulo akaletwa.

  • Matendo 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Paulo akasema: “Mimi sirukwi na akili, ewe Mtukufu Festo, bali ninasema maneno ya kweli na ya akili timamu.

  • Matendo 27:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Usiku huu malaika+ wa Mungu ambaye mimi ni mali yake na ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu, alisimama kando yangu 24 akasema: ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki