Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa sababu hiyo, ninawatuma kwenu manabii+ na watu wenye hekima na walimu wa watu wote.+ Baadhi yao mtawaua+ na kuwatundika kwenye miti, na baadhi yao mtawapiga mijeledi+ katika masinagogi yenu na kuwatesa+ katika jiji baada ya jiji,

  • Matendo 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye Sauli aliunga mkono kuuawa kwa Stefano.+

      Kuanzia siku hiyo kutaniko lililokuwa Yerusalemu likaanza kuteswa sana; wanafunzi wote isipokuwa mitume wakatawanyika kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki