29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara 100 zaidi, naye ataurithi uzima wa milele.+
26 “Yeyote akija kwangu naye hamchukii* baba yake na mama yake na mke wake na watoto wake na ndugu na dada zake, ndiyo, hata uhai wake*+ mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+