29 Akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia, hakuna yeyote ambaye ameacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi, au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mungu+30 ambaye hatapata mara nyingi zaidi wakati huu, na katika mfumo wa mambo* unaokuja, uzima wa milele.”+
25 Yeyote anayeupenda sana uhai wake* huuangamiza, lakini yeyote anayeuchukia uhai wake*+ katika ulimwengu huu ataulinda kwa ajili ya uzima wa milele.+