Mathayo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Herode* alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake.+ Marko 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Herode alikuwa ameagiza Yohana akamatwe na kufungwa gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake. Kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+
3 Herode* alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake.+
17 Kwa maana Herode alikuwa ameagiza Yohana akamatwe na kufungwa gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake. Kwa sababu Herode alikuwa amemwoa.+