Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 3:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa kweli ninawaambia kwamba wanadamu watasamehewa mambo yote, hata ziwe dhambi gani au maneno ya kukufuru wanayosema. 29 Lakini yeyote anayekufuru roho takatifu hatasamehewa milele,+ bali atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”+

  • Matendo 7:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Ninyi watu wagumu na wasiotahiriwa katika mioyo na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo mnavyofanya pia.+

  • Waebrania 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana kuhusu wale ambao wakati fulani walikuwa kwenye nuru,+ na ambao wameonja zawadi ya bure ya kimbingu na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu

  • Waebrania 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini wameanguka,+ haiwezekani kuwarudisha tena kwenye toba, kwa sababu wanamtundika tena mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumwaibisha hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki