Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia, watu watasamehewa kila aina ya dhambi na makufuru, lakini yeyote anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+ 32 Kwa mfano, yeyote anayesema neno baya dhidi ya Mwana wa binadamu, atasamehewa;+ lakini yeyote anayesema vibaya dhidi ya roho takatifu, hatasamehewa, hapana, si katika mfumo huu wa mambo* wala ule utakaokuja.+

  • Luka 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kila mtu anayesema neno baya kumhusu Mwana wa binadamu atasamehewa, lakini yeyote anayeikufuru roho takatifu hatasamehewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki