-
Mathayo 12:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia, watu watasamehewa kila aina ya dhambi na makufuru, lakini yeyote anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+ 32 Kwa mfano, yeyote anayesema neno baya dhidi ya Mwana wa binadamu, atasamehewa;+ lakini yeyote anayesema vibaya dhidi ya roho takatifu, hatasamehewa, hapana, si katika mfumo huu wa mambo* wala ule utakaokuja.+
-