45 Mtu mwema hutoa mambo mema kwenye hazina njema ya moyo wake, lakini mtu mwovu hutoa maovu kwenye hazina yake mbovu; kwa maana kinywa husema mambo yaliyojaa moyoni.+
6 Ulimi pia ni moto.+ Kati ya viungo vya mwili wetu, ulimi unawakilisha ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu, kwa maana unautia mwili wote+ unajisi na kuwasha moto maisha yote* nao huwashwa moto na Gehena.*