Methali 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyefaa kitu huchimbua lililo ovu;+Na maneno yake ni kama moto unaounguza.+ Mathayo 12:36, 37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema; 37 kwa maneno yako utatangazwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
36 Ninawaambia kwamba katika Siku ya Hukumu watu watatoa hesabu+ kuhusu kila neno lisilofaa wanalosema; 37 kwa maneno yako utatangazwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa.”