Methali 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mtu mwovu asiyefaa kitu huzurura-zurura akisema maneno mapotovu;+ Methali 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa moyo uliopotoka,Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+
12 Mtu mwovu asiyefaa kitu huzurura-zurura akisema maneno mapotovu;+ Methali 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa moyo uliopotoka,Sikuzote anapanga njama za uovu+ na kueneza ugomvi.+