Methali 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mfanya fujo* husababisha mgawanyiko,+Na mchongezi huwatenganisha marafiki wa karibu.+ Waroma 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+
17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+