Mwanzo 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari* kuliko wanyama wote wa mwituni walioumbwa na Yehova Mungu. Kwa hiyo, akamuuliza mwanamke: “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+ 1 Samweli 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Daudi akamuuliza Sauli: “Kwa nini unasikiliza maneno ya watu wanaosema, ‘Tazama! Daudi anataka kukudhuru’?+ Waroma 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+
3 Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari* kuliko wanyama wote wa mwituni walioumbwa na Yehova Mungu. Kwa hiyo, akamuuliza mwanamke: “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+
9 Daudi akamuuliza Sauli: “Kwa nini unasikiliza maneno ya watu wanaosema, ‘Tazama! Daudi anataka kukudhuru’?+
17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+