Mathayo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao huja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwamwitu wakali.+ Tito 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kuhusu mtu anayeendeleza madhehebu,+ mwepukeni+ baada ya kumwonya* mara ya kwanza na ya pili,+ 2 Yohana 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee nyumbani mwenu+ wala kumsalimu.
15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao huja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwamwitu wakali.+