Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Manabii wengi wa uwongo watatokea na kuwapotosha wengi;+

  • 2 Petro 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, kulikuwa pia na manabii wa uwongo miongoni mwa watu, kama vile pia kutakavyokuwa na walimu wa uwongo miongoni mwenu.+ Hawa wataingiza kimyakimya madhehebu yenye kuharibu, na hata watamkana bwana aliyewanunua,+ na kujiletea maangamizi ya haraka.

  • 1 Yohana 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,*+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatoka kwa Mungu,+ kwa kuwa manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki