Ufunuo 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu* na ya kweli;+ ndiyo, Yehova,* Mungu aliyewaongoza manabii,+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.
6 Akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu* na ya kweli;+ ndiyo, Yehova,* Mungu aliyewaongoza manabii,+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.