Methali 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mtu asiyefaa kitu huchimbua lililo ovu;+Na maneno yake ni kama moto unaounguza.+ Yakobo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ulimi pia ni moto.+ Kati ya viungo vya mwili wetu, ulimi unawakilisha ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu, kwa maana unautia mwili wote+ unajisi na kuwasha moto maisha yote* nao huwashwa moto na Gehena.*
6 Ulimi pia ni moto.+ Kati ya viungo vya mwili wetu, ulimi unawakilisha ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu, kwa maana unautia mwili wote+ unajisi na kuwasha moto maisha yote* nao huwashwa moto na Gehena.*