Mathayo 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini ninawaambia, hapa pana mtu mkuu kuliko hekalu.+ Luka 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Malkia wa kusini+ atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atakihukumu kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia ili asikie hekima ya Sulemani. Lakini tazama! hapa pana mtu mkuu kuliko Sulemani.+
31 Malkia wa kusini+ atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atakihukumu kwa sababu alikuja kutoka miisho ya dunia ili asikie hekima ya Sulemani. Lakini tazama! hapa pana mtu mkuu kuliko Sulemani.+