23 Ndipo akawageukia wanafunzi wake faraghani na kuwaambia: “Yenye furaha ni macho yanayoona mambo mnayoona.+ 24 Kwa maana ninawaambia, manabii na wafalme wengi walitamani kuona mambo mnayoona lakini hawakuyaona,+ na kusikia mambo mnayosikia lakini hawakuyasikia.”