16 “Hata hivyo, macho yenu ni yenye furaha kwa sababu yanaona na masikio yenu kwa sababu yanasikia.+ 17 Kwa kweli ninawaambia, manabii wengi na watu waadilifu walitamani kuona mambo mnayoona lakini hawakuyaona,+ na kusikia mambo mnayosikia lakini hawakuyasikia.