Mathayo 13:38, 39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 lile shamba ni ulimwengu.+ Nazo mbegu nzuri ni wana wa Ufalme, lakini magugu ni wana wa yule mwovu,+ 39 na adui aliyepanda magugu ni Ibilisi. Mavuno ni umalizio wa mfumo wa mambo,* na wavunaji ni malaika.
38 lile shamba ni ulimwengu.+ Nazo mbegu nzuri ni wana wa Ufalme, lakini magugu ni wana wa yule mwovu,+ 39 na adui aliyepanda magugu ni Ibilisi. Mavuno ni umalizio wa mfumo wa mambo,* na wavunaji ni malaika.