Marko 7:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa Mafarisayo na baadhi ya waandishi waliotoka Yerusalemu wakakusanyika kumzunguka Yesu.+ 2 Wakaona baadhi ya wanafunzi wake wakila chakula kwa mikono isiyo safi, yaani, bila kunawa.*
7 Sasa Mafarisayo na baadhi ya waandishi waliotoka Yerusalemu wakakusanyika kumzunguka Yesu.+ 2 Wakaona baadhi ya wanafunzi wake wakila chakula kwa mikono isiyo safi, yaani, bila kunawa.*