Marko 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Akatoka huko na kwenda kwenye maeneo ya Tiro na Sidoni.+ Akaingia katika nyumba na hakutaka mtu yeyote ajue, lakini hakuweza kuepuka kutambuliwa.
24 Akatoka huko na kwenda kwenye maeneo ya Tiro na Sidoni.+ Akaingia katika nyumba na hakutaka mtu yeyote ajue, lakini hakuweza kuepuka kutambuliwa.