Marko 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akawaonya waziwazi akisema: “Endeleeni kuwa macho; jihadharini na chachu* ya Mafarisayo na ya Herode.”+ Luka 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo, maelfu ya watu walikusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu akaanza kuzungumza kwanza na wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+
15 Naye akawaonya waziwazi akisema: “Endeleeni kuwa macho; jihadharini na chachu* ya Mafarisayo na ya Herode.”+
12 Wakati huo, maelfu ya watu walikusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu akaanza kuzungumza kwanza na wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+