Luka 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo, maelfu ya watu walikusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu akaanza kuzungumza kwanza na wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+
12 Wakati huo, maelfu ya watu walikusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu akaanza kuzungumza kwanza na wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+