Marko 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Yesu akageuka na kuwatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, akisema: “Nenda nyuma yangu, Shetani! kwa sababu hufikirii mawazo ya Mungu, bali ya wanadamu.”+
33 Yesu akageuka na kuwatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, akisema: “Nenda nyuma yangu, Shetani! kwa sababu hufikirii mawazo ya Mungu, bali ya wanadamu.”+