Mathayo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sura yake ikageuka mbele yao; uso wake ukang’aa kama jua, na mavazi yake ya nje yakang’aa* kama nuru.+ Marko 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yesu akaendelea kusema: “Kwa kweli ninawaambia kwamba kuna baadhi ya wale waliosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe kabla ya kuona Ufalme wa Mungu ukiwa tayari umekuja katika nguvu.”+ Luka 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini kwa kweli ninawaambia, kuna baadhi ya wale waliosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.”+
2 Sura yake ikageuka mbele yao; uso wake ukang’aa kama jua, na mavazi yake ya nje yakang’aa* kama nuru.+
9 Yesu akaendelea kusema: “Kwa kweli ninawaambia kwamba kuna baadhi ya wale waliosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe kabla ya kuona Ufalme wa Mungu ukiwa tayari umekuja katika nguvu.”+
27 Lakini kwa kweli ninawaambia, kuna baadhi ya wale waliosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.”+