13 Wote watakaoandikishwa watatoa nusu ya shekeli kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.+ Gera 20 ni sawa na shekeli moja. Nusu shekeli ni mchango kwa Yehova.+ 14 Kila mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 20 anayeandikishwa atatoa mchango wa Yehova.+