Mathayo 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, Yesu akawaambia: “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, na msijaribu kuwazuia, kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa wale walio kama wao.”+ 1 Petro 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni hamu kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa na kitu* ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+
14 Hata hivyo, Yesu akawaambia: “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, na msijaribu kuwazuia, kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa wale walio kama wao.”+
2 Kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni hamu kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa na kitu* ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+