4 Mnapokusanyika pamoja katika jina la Bwana wetu Yesu, na kujua kwamba nipo nanyi katika roho pamoja na nguvu za Bwana wetu Yesu, 5 lazima mumkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho iokolewe katika siku ya Bwana.+