Marko 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo, kile ambacho Mungu ameunganisha, mtu yeyote asikitenganishe.”+ 1 Wakorintho 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wakitengana, abaki bila kuolewa la sivyo apatane tena na mume wake; na mume hapaswi kumwacha mke wake.+
11 Lakini wakitengana, abaki bila kuolewa la sivyo apatane tena na mume wake; na mume hapaswi kumwacha mke wake.+