1 Wakorintho 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa kweli, ninataka msihangaike. Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha* Bwana. 1 Wakorintho 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Vivyo hivyo yeyote anayefunga ndoa* anafanya vema, lakini yeyote asiyefunga ndoa atafanya vema zaidi.+ 1 Wakorintho 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sisi tuna haki ya kuambatana na mke ambaye ni mwamini,*+ kama wale mitume wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,*+ sivyo?
32 Kwa kweli, ninataka msihangaike. Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha* Bwana.
38 Vivyo hivyo yeyote anayefunga ndoa* anafanya vema, lakini yeyote asiyefunga ndoa atafanya vema zaidi.+
5 Sisi tuna haki ya kuambatana na mke ambaye ni mwamini,*+ kama wale mitume wengine na ndugu za Bwana+ na Kefa,*+ sivyo?